Alichosema Nondo Mara baada ya kupata Dhamana Leo

video bora 2018-03-27

Views 18

Mwanafunzi aliyedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana leo amepewa dhamana na Mahakama mkoani Iringa ambako kesi yake inasikilizwa.

Hii hapa kauli yake akifunguka mara baada a kupewa dhamani hiyo.

Share This Video


Download

  
Report form