Jamii Ya Ogiek Yataka Mwanamke Ateuliwe Kama Seneta

EbruTVKENYA 2021-09-04

Views 4

Jamii Ya Ogiek Imeiomba Chama Cha Jubilee Kuteua Seneta Mteule Kutoka Kwa Jamii Yao. Wamemuunga Mkono Roselyn Presoi Ateuliwe Kwenye Kiti Hicho. Jamii Hiyo Imesema Kuwa Imesahaulika Kwenye Uongozi Na Kuteuliwa Kwa Presoi Kama Seneta Kuliwapa Umaarufu.

Share This Video


Download

  
Report form