Wazazi Na Watetezi Wa Haki Za Kibinadamu Waandamana Wakitaka Majibu

EbruTVKENYA 2021-11-10

Views 2

Makundi Ya Kutetea Haki Za Kibinadam Pamoja Na Mawakili Nchini Yamefanya Maandamano Ya Amani Dhidi Ya Visa Vya Mauaji Ya Kiholela Ambavyo Vimekithiri Nchini. Wakiongozwa Na Chama Cha Mawakili Nchini Wamewasilisha Ombi Mahakamani Na Pia Katika Idara Ya Polisi, Wakitaka Uchunguzi Wa Kina Kufanyika Na Haki Kwa Familia Husika Kutendwa

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS