Haji: Vita Dhidi Ya Ufisadi Vyaanza Na Wakenya

EbruTVKENYA 2021-12-09

Views 4

Washikadau Wa Kupambana Na Ufisadi Wanasema Kuwa Taifa Haliwezi Kujinasua Kutoka Katika Minyororo Ya Ufisadi Ikiwa Wakenya Wataendelea Na Hulka Ya Kuchagua Viongozi Wafisadi. Mkurugenzi Wa Mashtaka Ya Umma Noordin Haji Anasema Kuwa Vita Dhidi Ya Ufisadi Vinapaswa Kuanza Na Kila Mkenya. Hafla Hiyo Imeandaliwa Kaunti Ya Mombasa.

Share This Video


Download

  
Report form