Wanariadha wasaka tiketi ya London Olympics

KTN Home 2012-06-20

Views 121

http://www.ktnkenya.tv

Zaidi ya wanariadha mia moja maarufu wa Kenya wataingia uwanjani Nyayo Ijumaa kutafuta tiketi za olimpiki kule London wakati wa mchujo wa riadha. Kamati ya olimpiki imesema kuwa matayarisho yote yamekamilika na kuwa inatarajia kikosi thabiti kuchaguliwa kufikia siku ya jumamosi

Share This Video


Download

  
Report form