Wanaoendesha Magari Ya Masafa Marefu Waililia Serikali

EbruTVKENYA 2021-08-11

Views 18

Wamiliki Wa Mabasi Na Madereva Ya Masafa Marefu Wameirai Serikali Kuwalegezea Masharti Ya Kafyu Kufuatia Hasara Kubwa Wanayokadiria Kutoka Mwaka Jana.Wanadai Kuwa Kulegezwa Kwa Masharti Hayo Utawasaidia Kuregesha Fedha Walizopoteza Ikiwemo Pia Na Ilani Ya Kuregeshwa Kwa Idadi Kamili Ya Abiria …

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS