Wakaazi Walioathirika Na Mashambulizi Ya Laikipia Wataka Wafidiwe

EbruTVKENYA 2021-09-21

Views 25

Wakaazi Walioathirika Na Mashambulizi Ya Laikipia Sasa Wamejitokeza Na Kuitaka Serikali Kuwafidia Kutokana Na Hasara Waliopata Kutokana Na Mashambulizi Hayo.Na Zaidi Wameisuta Serikali Kwa Kufeli Kuangazia Utata Wa Mashamba Haya Miaka Nenda Miaka Rudi .

Share This Video


Download

  
Report form