Watumishi Wa Umma Watakiwa Kuchukua Chanjo Kufikia Agosti 23

EbruTVKENYA 2021-08-10

Views 0

Watumishi Wa Umma Ambao Hawajachanjwa Dhidi Ya Covid-19 Wana Wiki Mbili Za Kuchukua Chanjo Hiyo La Sivyo, Hatua Za Kinidhamu Zitachukuliwa Dhidi Yao. Kulingana Na Mkuu Wa Utumishi Wa Umma Joseph Kinyua, Idadi Ya Waliopata Chanjo Miongoni Mwa Watumishi Wa Umma Haswa Katika Sekta Ya Usalama Na Ile Ya Walimu Ipo Chini Zaidi Licha Ya Chanjo Hiyo Kupatikana Nchini.

Share This Video


Download

  
Report form
RELATED VIDEOS